BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Maseneta waishinikiza Marekani kutathmini upya uhusiano na Tanzania
"Tanzania imekuwa mshirika muhimu wa Marekani katika Afrika Mashariki, lakini kuzorota kwa demokrasia, vurugu za kisiasa na ukandamizaji wa hivi karibuni haviwezi kupuuzwa," amesema Jeanne Shaheen.
Jinsi ya kuzuia picha zako za faragha zisivuje
Kupiga picha za utupu ni uamuzi ambao ni ngumu kuuingilia. Lakini kile ambacho makala hii inakusudia kukigusia, ni ushauri wa namna ya kujilinda ili picha zako za faragha zisiende kwenye kadamnasi.
Moja kwa moja, Cuba ni tishio kwa usalama wa Marekani - Marco Rubio
Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani, Marco Rubio, amesema kuwa Cuba ni tishio kwa usalama wa taifa la Marekani na kuwa hakuna uwezekano wa kuafikiwa kwa makubaliano ya amani kati ya nchi hizo mbili.
Wasanii wa Afrika Mashariki wanavyoishi katikati ya vita ya Marekani na Iran
Wanamuziki wengi wa Afrika Mashariki hupenda kufanya matamasha na kuishi Dubai kwa lengo la kupata malipo mazuri pamoja na kutumia jukwaa hilo kuwafikia mashabiki wa kimataifa.
Polisi Tanzania inachunguza tukio la kutekwa kwa msaidizi wa Lissu
Hapo awali Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Bara wa Amani Golugwa alitoa taarifa za kuthibitisha kupatikana kwa David Jumbe akiwa na pingu mikononi.
Raúl Castro akabiliwa na mashataka ya uhalifu lakini chanzo cha migogoro kati ya Cuba na Marekani ni nini?
Cuba iko kwenye misukosuko ya kiuchumi na nishati kufuatia shinikizo la hivi karibuni kutoka kwa utawala wa Donald Trump na kupoteza uungwaji mkono kutoka Venezuela baada ya kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani Nicolás Maduro mnamo mwezi Januari.
DR Congo yafunga kambi ya mazoezi ya Kombe la Dunia kufuatia mlipuko wa Ebola
Maandalizi ya timu ya taifa yamehamishiwa Ubelgiji huku maambukizi ya ugonjwa huo uliosababiisha vifo vya zaidi ya watu 130 ukiendelea yakiendelea kuenea.
'Hii inaweza kuwa mara ya mwisho kusikia sauti yangu': Mauaji ya kisiasa yaongezeka Iran
Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeonya kuwa adhabu ya kifo inazidi kutumiwa kunyamazisha upinzani wa kisiasa nchini Iran.
Kwanini tunaweza kusema mimea ina uwezo wa 'kuona'?
Bila shaka, mimea haina mboni, macho, au akili, kwa hivyo haina aina ya macho ambayo inahusishwa na viumbe vingine.
WARIDI WA BBC: 'Nina sehemu mbili za uke'
Abigael Kendi, binti mwenye umri wa miaka 19, kutoka Kenya amezaliwa na mlango wa kizazi mara mbili, tumbo la uzazi mara mbili, uke mara mbili na figo moja.
Nchi hizi 5 Afrika mafuta huuzwa kwa bei ya 'chapati'
Mataifa haya, mafuta ni bei rahisi kiasi kwamba bei hiyo unaweza kununua chapati, na kwa baadhi ya nchi bei yake ni ndogo kuliko bei ya andazi au kitumbua.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.
Kutoka kukimbia ndoa ya utotoni na 'mzee' hadi kuwa mke wa rais
Maisha binafsi ya mmoja wa wanawake wenye ushawishi mkubwa kisiasa barani Afrika yamefichuliwa katika mahojiano maalum ya kipekee ya BBC World Service.
Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?
Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.
J-10C Fighters: Nini kinazifanya ndege hizi za kivita kuwa hatari zaidi?
Moja ya sababu kubwa zinazofanya J-10C kupewa hadhi ya ndege hatari ni uwezo wake wa kushambulia adui kabla hata ya kuonekana kwenye rada za kawaida.
Vinywaji vya kuongeza nguvu vina madhara gani kwa vijana?
Wataalam wa afya wanahofia watu wengi wanategemea vinywaji hivi bila kuelewa kikamilifu madhara yake kwa afya.
CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?
Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.
Injili Klabuni: Mtindo mpya wa kuwavuta vijana katika injili
Mamia ya vijana walijitokeza jijini Nairobi kuhudhuria hafla ya Misa ya tatu {'Third Service',} hafla inayochanganya muziki wa injili, dansi, ibada na burudani katika mtindo mpya wa kuwafikia vijana kupitia imani na muziki wa kisasa.
Njia tatu za kupunguza kasi ya kuzeeka kwa ubongo
Kipindi chetu cha "maisha yenye afya" - yaani, idadi ya miaka ambayo watu hutumia kufurahia afya njema - inapungua katika sehemu nyingi za dunia.
Waridi wa BBC: Mariam na safari ya kufua kusaka $15,000 za kupandikizwa figo
Mariam anasema kwamba mama yake yuko tayari wakati wowote kujitolea figo ili kuokoa maisha yake,lakini hadi sasa hajafanikiwa kupata kiasi cha pesa kinachotakiwa ili kufanikisha upandikizaji huo.
Iran na Marekani kwenye vita yenye washindi wawili
Ikiwa Tehran itaendelea kudumisha ushawishi wake wa kikanda na kuzuia kusitishwa kabisa kwa mpango wake wa nyuklia, Iran itajiona kuwa mshindi.
Je, kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga ni ndoto inayowezekana?
Pendekezo la ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta huko Tanga, Tanzania limeibua mjadala mpana wa kisiasa na kiuchumi Afrika Mashariki, likifufua upya hoja ya utegemezi wa mafuta kutoka nje.
Zijue nchi 7 ndogo zaidi duniani
Hapa ni orodha ya nchi 7 ndogo duniani ambazo nchi hizi kwa moja moja unaweza kuitembelea karibu yote ndani ya siku moja ama kwa saa chache.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 22 Mei 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 22 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 22 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 21 Mei 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani


















































