BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Polisi, jeshi watanda kuzuia maandamano 7/7 Tanzania
Maafisa hao wameonekana kwa wingi katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kwenye mizunguko ya barabara na mitaa katika jiji kuu la kibiashara la Dar es Salaam na miji mingine.
Moja kwa moja, Msafara wa mazishi ya Kiongozi Mkuu wa zamani wa Iran waanza mjini Tehran
Msafara wa mazishi ya Kiongozi Mkuu wa zamani wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, umeanza safari yake kupitia mji mkuu, Tehran.
Jinsi taarifa za milipuko ya magonjwa zinavyoathiri afya ya akili na namna tunavyofikiri
Watu wengine kwa asili huwa na hofu kubwa zaidi ya magonjwa na hivyo huwa nyeti zaidi kwa taarifa zinazohusiana na maambukizi. Wengine huonyesha mwitikio mdogo na hawaathiriki sana na taarifa kama hizo.
Mambo matano yanayoifanya Iran ya sasa kuwa tofauti kabisa na ilivyokuwa awali
Mazishi ya Khamenei ni ukumbusho mwingine wa mabadiliko yaliyoikumba Iran, lakini uongozi wake mpya unalenga nini?
Tetesi za Soka Ulaya Jumatatu: Real Madrid yamfukuzia Olise wa Bayern Munich
Real Madrid inaandaa ofa kubwa kwa ajili ya Michael Olise, Tottenham inafikiria kumsajili Rafael Leao, huku Newcastle ikimnyatia Angelo Stiller.
Kwa nini udi unaochomwa majumbani ni hatari?
Utafiti uliotajwa na Maktaba ya Kitaifa ya Tiba uligundua kuwa moshi wa vijiti vya udi unaweza kuongeza vifo vinavyotokana na magonjwa ya moyo na kiharusi kwa takriban asilimia 12.
Jinsi vifaa vya kielektroniki vinavyoathiri miili yetu
Uchunguzi wa kisayansi wa hivi karibuni unaonyesha kwamba simu yako na vifaa vingine vya kielektroniki huenda vinabadilisha umbo la shingo yako, kuharibu macho yako, kuathiri mwendo wako, na kudhoofisha misuli yako.
Kwa nini kuna hofu kwamba Kanisa Katoliki linaweza kugawanyika?
Mara ya mwisho SSPX kuwateua maaskofu wapya ilikuwa mwaka 1988, na walioapishwa wakati huo walitengwa mara moja kutoka Kanisa katoliki.
Jeshi la Tanzania latoa onyo dhidi ya wavunjifu wa amani
Jeshi hilo limeeleza kuwa litaendelea kushirikiana na vyombo vya dola kukabiliana na matukio yoyote ya vurugu, ghasia na uvunjifu wa amani.
Tetesi za soka: Vigogo wanne wa Ligi Kuu England 'watoana roho' kwa Alex Scott
Vigogo vinne vya Ligi Kuu England vamtaka Alex Scott huku Arsenal ikikubali kumuuza Trossard na Mainoo akiingia kwenye rada za Real Madrid
Wairan waanza kumuaga Khamenei mashaka yakiongezeka kuhusu hatima ya Mojtaba
Ayatollah Ali Khamenei aliuawa pamoja na jamaa wanne wa familia yake mwanzoni mwa vita kati ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.
Je, msimamo wa Democrats kuhusu Israel ni upi?
Israel na operesheni zake za kijeshi huko Gaza na eneo zima la Mashariki ya Kati inazidi kuwa suala muhimu na la msingi kwa Chama cha Democratic, huenda ikachangia hoja itakayounda upya uongozi wa chama hicho katika uchaguzi ujao.
Kombe la Dunia 2026 - Mechi na Matokeo
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Njia 4 nadra ambazo mwanamke anaweza kupata ujauzito
Isipokuwa iwapo umeruka darasa la elimu ya ngono, labda una ufahamu wa kimsingi jinsi watoto wanavyoumbwa.
Vyuo 10 bora zaidi barani Afrika 2026
Vyuo vikuu barani Afrika vinazidi kutambulika katika jukwaa la kimataifa, kwa kuchochewa na matokeo yenye nguvu ya utafiti, ushirikiano wa kimataifa, na ushawishi unaokua wa kitaaluma.
Nini huzuia wanawake wengi kutofika kileleni?
Sababu nyingine inayochochea wanawake kutofika kileleni wanapokuwa na wenzi wao ni ugumu wa kuzungumza na uwazi kuhusu wanachokipenda wakati wanashiriki ngono.
Zijue nchi 10 wauzaji wakubwa wa silaha duniani
Huku mivutano ya kijiografia ikiongeza duniani na kusababisha vita na migogoro, mahitaji ya vifaa vya kijeshi, kupitia biashara ya silaha, yanazidi kuongezeka katika ulimwengu.
Je, Tanzania inajenga makazi bora kwa nani?
"Hivi kweli mwananchi wa kipato cha chini hapo umewasaidiaje? NHC leteni miradi ya nyumba za kawaida za milioni 30 au 50. Mikopo ya nyumba iwe miaka 25 au 30," Vanessa Stafford aliandika kwenye ukurasa wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC).
Je, unaamka saa nane au tisa usiku na kushindwa kulala tena?
Watu wengi wanafikiri kuwa msongo wa mawazo ndio chanzo. Wengine wanahusisha hali na sababu mbaya za kiafya. Hata hivyo, kuamka nyakati hizo kunaweza kuwa ishara ya matatizo mbalimbali.
Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.
Mataifa 10 yenye amani zaidi barani Afrika 2026
Huku sehemu za bara zikiendelea kukabiliana na ugaidi, uasi, na ukosefu wa utulivu wa kisiasa, nchi kadhaa zimedumisha viwango vya juu vya amani na usalama.
'Tulipoingia ndani ya bunge la Kenya tulifyatuliwa risasi'
''Vijana Afrika Mashariki hatutakubali kunyamazishwa na viongozi ambao hawana nia ya kuheshimu katiba na demokrasia, viongozi wa Afrika Mashariki wajue hilo'', Ezekiel ambaye ni mwanaharakati Kenya aiambia BBC.
Makubaliano ya Iran na Marekani: Kwa nini nchi za Ghuba ya Uajemi bado zina wasiwasi?
Nchi za Kiarabu za Ghuba, ambazo ziko katikati ya mivutano kati ya Washington na Tehran, zinafuatilia kwa wasiwasi mkubwa maendeleo haya. Ikiwa mivutano itazidi tena, huenda ndizo nchi zitakazobeba mzigo mkubwa zaidi wa madhara.
Je, ndege ya Trump ya hali ya juu ina uwezo gani?
Airforce One: Rais wa Marekani Donald Trump ameitembelea ndege mpya ya rais, aliyokabidhiwa na Qatar mwaka mmoja uliopita, akiielezea kama "ndege ya kifahari zaidi duniani."
Mambo 5 yanayosababisha wenza kutoelewana
Ukosefu wa imani na kuaminiana katika uhusiano, ambao unaweza kufanya kuishi pamoja kuwa na migogoro au wasiwasi, na hatimaye unaweza kusababisha kutengana.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Afya yako
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 6 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 6 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 6 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 3 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
























































