Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026

Aliko Dangote aongoza orodha ya watu matajiri zaidi Afrika 2026
Iliyochapishwa

Huku masoko ya hisa yakipanda na sarafu zikitengemaa katika bara zima, utajiri wa wafanyabiashara maarufu barani Afrika umeongezeka.

Mwaka huu matajiri 23 barani Afrika wana thamani ya $126.7 bilioni kwa pamoja, thamani yao ikipanda asilimia 21 ikilinganishwa na mwaka 2025, kulingana na orodha ya hivi karibuni ya Forbes.

Aliko Dangote anasalia kuwa mtu tajiri zaidi barani Afrika na wastani wa utajiri wa $ 28.5 bilioni, utajiri wake ukioingezeka kwa $ 4.6 bilioni mwaka huu.

Mwandishi wa BBC Asha Juma na taarifa zaidi